tunawapiga bao, tumejiami na mapanchline kibao
kikosi cha mzinga ukoo flani mau mau
tunawapatia uhondo waende zao
mmmmmmm
iibuchi, nduku nyingi kwa system
hadi ukini a buse utakuwa una abuse drugs
jina tamu kama kuchi
waweza kunywa kama uji
ikiwa murats sijui
labda uwe umevalia bui bui
kila siku asubuhi, lazima mjue nani mrui
kwa majina ni kirui
ye ye
ongeree / Blog
tunawapiga bao
tunawapiga bao, tumejiami na mapanchline kibao kikosi cha mzinga ukoo flani mau mau tunawapatia uhondo waende zao
mmmmmmm iibuchi, nduku nyingi kwa system hadi ukini a buse utakuwa una abuse drugs jina tamu kama kuchi waweza kunywa kama uji ikiwa murats sijui labda uwe umevalia bui bui kila siku asubuhi, lazima mjue nani mrui kwa majina ni kirui ye ye
Reply