View Lyrics: Asante By George Bongo Modal close icon

Viewing lyrics for Asante By George Bongo by George Bongo.

ASANTE
By Msanibongo/Album Asante

[Just kwa wema wako baba, Mi’ bado naishi
Jesus you are more than a friend: And I love you]

Eeh baba, eeh baba
Eeh baba, eeh baba [voices]

[Ko-rass] Asante x8

Maishani sijaona Mungu Kama wewe
Maishani sijaona Mungu Kama wewe
Jina lako litukuzwe, wewe ni, Alfa na Omega
Tunakusifu, tunakuimbia
[Ewe baba] Hakuna Mungu [baba]
Kama wewe eeh eh

[Ko-rass] Asante x8

Mara nyingi Napata shida sina pakuegemea
Marafariki kibao mbali [wao], wanasongea
Upweke, majuto naam nimepokea
Habari zangu nyingi pia wanaziongea

God you said you‘d never let me down
Every time I call your name
You knew my pain, and renewed my strength
And I just wanna say thank you

Rap: Maishani mwangu sijapata kama we
Ingawa wakati wa shida nina sema ni wewe
No matter what ever that just come my way
I’ll stick to you and I will never let you go x2

[Ko-rass] Asante x8

Japo shida mi’nateseka, lakini najua ywanipeendaa
Japo shida mi’nateseka, lakini najua ywanijaalii
Niwakati wa shida [shidaa],
Niwakati waraha [rahaa]
Namtegemea yeye [yeeyee],
Namtegemea yeye [yeiyee]

[Yeeyee] yeiyee][Yeeyee]
[Yeeyee]Yeiyee oooh oh oh

Hakuna Kama wewe [turari tura turera]
Hakuna Kama wewe [turari tura turera]
Hakuna Kama wewe [turari tura turera]
Hakuna Kama wewe [turari tura turera] [x 5] [Till fade

Close